Katika Khutba yake, Sheikh Suleiman alieleza nafasi muhimu ya maadili katika ujumbe wa vyuo vya dini na jukumu la wanazuoni katika kulea jamii yenye maadili mema kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.

19 Julai 2025 - 12:48

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - Kikao cha kielimu na maarifa (Taaluma) kimefanyika leo hii Tarehe 19 Julai, 2025 - 

Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar es Salaam | Ripoti ya Kikao cha Kitaaluma - Chenye Mada:“Nafasi ya Vyuo vya Dini katika Kukuza Maadili ya Kijamii” + Picha

Katika Chuo cha Jamiat Al-Mustafa (s.a.w.w) - Dar-es-salaam, kikiwa na mada hii: “Nafasi ya Vyuo vya Dini katika Kukuza Maadili ya Kijamii”.

Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar es Salaam | Ripoti ya Kikao cha Kitaaluma - Chenye Mada:“Nafasi ya Vyuo vya Dini katika Kukuza Maadili ya Kijamii” + Picha

Washiriki katika Kikao hiki ni Wanafunzi wa Kidini wa Chuo hiki.

Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar es Salaam | Ripoti ya Kikao cha Kitaaluma - Chenye Mada:“Nafasi ya Vyuo vya Dini katika Kukuza Maadili ya Kijamii” + Picha

Muwasilishaji wa Mada: Hujjatul Islam wal-Muslimin Sheikh Suleiman Issa.

Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar es Salaam | Ripoti ya Kikao cha Kitaaluma - Chenye Mada:“Nafasi ya Vyuo vya Dini katika Kukuza Maadili ya Kijamii” + Picha

Katika Khutba yake, Sheikh Suleiman alieleza nafasi muhimu ya maadili katika ujumbe wa vyuo vya dini na jukumu la wanazuoni katika kulea jamii yenye maadili mema kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu. 

Alisisitiza kuwa vyuo vya dini vina wajibu mkubwa wa kueneza utamaduni wa kuwajibika, kuheshimiana na kuhudumia jamii.

Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar es Salaam | Ripoti ya Kikao cha Kitaaluma - Chenye Mada:“Nafasi ya Vyuo vya Dini katika Kukuza Maadili ya Kijamii” + Picha

Kikao hiki, kilihitimishwa kwa maswali na majibu, huku washiriki wakionyesha hamasa ya kujadili masuala ya kijamii na kimaadili kwa kina zaidi.

Your Comment

You are replying to: .
captcha